Tuesday, September 9, 2014

BARAZA LA MADIWANI LAMTOLEA UVIVU MKUU WA WILAYA - MBOZI

Katika hali isiyoyakawaida baraza la madiwani wilaya ya mbozi ktk kikao chake cha kujadili taarifa (hoja ya mdhibiti na mkaguzi wa serikali, kwa kutumia vibaya fedha ya halimashauri mbapo kwa wastani mkuu huyo wa wilaya amekuwa akitumia tshs millioni 4 kwa wiki mbili hivyo madiwani hao wakieleza kwa uchungu wamedai matumizi hayo ni sawa na karibu millioni 8 kwa mwezi na ikiwa kimsingi ni matumizi binafsi. madai hayo yametilewa na madiwani hao mbele ya mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya Mh. Dr. kadeghe

No comments: